Location: Studio za Radio Maria Tz - Mikocheni Dar

GM7

JF-Expert Member
Jun 26, 2009
492
24
Watu wengi wamekuwa wakisikiliza Radio Maria Sauti ya Kikristo Nyumbani Mwako, kwa wakazi wa jijini Dar na hata mikoani wamekuwa hawajui Radio hii wanatangaza matangazo yake kutoka wapi. Kwa sasa Radio Maria inapatikana Dar kwa frequency 103.5Mhz. Pia Radio hii husikika katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Songea, Mpanda, Singida Mwanza, Arusha, Manyara, Moshi Morogoro, Mtwara, Zanzibar, Pemba Pwani na Dar yenyewe.

Ukitaka kufika Studio za Dar CLICK HERE
 
hii radio ilikuwa kipenzi changu kipindi nafanya kazi zangu songea....nafikiri ndo ilianzia kule kabla hata haijaja huku bongo...
 
hii radio ilikuwa kipenzi changu kipindi nafanya kazi zangu songea....nafikiri ndo ilianzia kule kabla hata haijaja huku bongo...
Kweli kabisa ilianzia Songea, lakini baadaye wakaamua kuihamishia Bongo ili kurahisisha mawasiliano pamoja na mambo mengine
 
Ndugu yangu GM7 dar ilivopangika hata hiyo ramani ni vurugu tu-na mimi si nilisikia kuwa inapatikana kwenye mtandao je ni kweli na kama kweli how?
 
nimeangalia hiyo picha but i saw nothing so peculiar! what were you trying to tell us black man?
 
Ndugu yangu GM7 dar ilivopangika hata hiyo ramani ni vurugu tu-na mimi si nilisikia kuwa inapatikana kwenye mtandao je ni kweli na kama kweli how?
Hello the one who is looking to listen the Radio Maria on line. It is easy you may search by using this web: www.radiomaria.co.tz or you may search on Radiomaria it will come but connected to other website then click on listen live. Then there you are!!!
 
Watu wengi wamekuwa wakisikiliza Radio Maria Sauti ya Kikristo Nyumbani Mwako, kwa wakazi wa jijini Dar na hata mikoani wamekuwa hawajui Radio hii wanatangaza matangazo yake kutoka wapi. Kwa sasa Radio Maria inapatikana Dar kwa frequency 103.5Mhz. Pia Radio hii husikika katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Songea, Mpanda, Singida Mwanza, Arusha, Manyara, Moshi Morogoro, Mtwara, Zanzibar, Pemba Pwani na Dar yenyewe.

Ukitaka kufika Studio za Dar CLICK HERE

Orodha yako ya mikoa ninaitilia shaka!
 
Hii Radio inastahili pongezi sana,nadhani ndio radio pekee tanzania inayosikika live online,i have made it a point kila saa saba mchana ya tanzania mimi hapa zurich usikiliza tarifa ya habari ya TBC kupitia redio hii-once again congratulations kwa radio maria cause ni aibu kwa nchi kama tanzania kuwa na redio mmoja tu live online
 
Yeah, ni radio pekee online! Inanifariji sana ofisini na kwingineko

Clouds FM nao walishia wapi na bongo5.com yaoooo??? teh teh walikuja kwa machejo na wakakita mwamba na wamepokea tuzo sasa wajitokeze tena kwa website tuwajue wako na chama gani nao???

 
Hello the one who is looking to listen the Radio Maria on line. It is easy you may search by using this web: www.radiomaria.co.tz or you may search on Radiomaria it will come but connected to other website then click on listen live. Then there you are!!!

hiyo website mbona haileti site ya hiyo radio??
 
Kweli kabisa ilianzia Songea, lakini baadaye wakaamua kuihamishia Bongo ili kurahisisha mawasiliano pamoja na mambo mengine

Hapo penye RED, hayo mambo mengine ni nini kama sio wizi wa donors' funds?
 
naomba kuuliza.
HIVI RADIO MARIA NA PRAISE POWER YA MAMA RWEKATARE ni ipi inayosikilizwa na wengi KWA DAR.?
 
Back
Top Bottom