Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,749
- 5,238
- Thread starter
- #41
Kejeli na roho ya husda haitakusaidia katika maisha jifunze kuelewa mambo na sio kudakia kwa lengo gani na unafaidika na nini?Naishi nayo hivo hivo kwa tabu
Kila laheri kaka/dada Mungu akufanyie wepesi
Nashukuru na pia na wewe Mungu akufanyie wepesi katika kuangalia mambo katika mtazamo chanya na sio mtazamo hasi kama ulionao ambao unautumia kama fimbo. Shukran.