Hivi ni yeye kweli au kafananishwa???
Ochu,
Kama upo Sabax2 utakuwa unafanya kama "avanta" yako inavyoonyesha! Au umepita karibu na banda la "einikeni"!
Hahahahahahahahaah ama kweli leo Ijumaa! Asante Mdau....nimeosha macho kwa huyo binti zaidi