Liverpool vs Arsenal EPL 8/2/2014 Live Updates

cha nne icho... Asernal gaweni wachezaji mfunge club yenu!!
 
Suarez kwa nini hufungi leo?

Wamemkaba Suarez wakasahau wengine.

Bao tano halafu bado Suarez hajafunga, akianza kufunga si itakuwa balaa?
 
Kuna jamaa wamecheza kamari sijui nini kitafuata baada ya mechi kuisha! Liver 5 - Asernal 0
 
57th minute: Arsenal secure their first shot on goal.
 
wajameni kitufe cha REPORT ABUSE kiko wapi mboni sikioni? naona Liver wanawaABUSE Arsenal, nataka niwa-report.
 
podoski kachukua ya giroud
risiscy kachukua ya ozil
hali mbaya jamani 5-0 ??
 
arsenal wanangojea mujiza wa simba kurudisha gori3 walizopgwa kipind chs kwanza!! je iz t possible??
 
Matokea haya ya leo kwa Liverpool ndio matokeo ya kesho hapa jiji la Arusha kati ya CCM na Chadema kata ya Sombetini! Yeriko Nyerere naomba LIKE yako!
 
Dakika ya 68 Asernal wanapata goli la kwanza - Liverpool 5 - Asernal 1
 
Pamoja na majigambo yao yoote mwanzoni sasa Arsenal wameshalikimbia jamvi... doo poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…