nasikia jamaa kaenda simba kumalizia career yake halafu kawaambia hawana hela ya kumlipa ngoja tuone ligi ikiianza atakuwaje maana yeye acheza tu kuhusu mkwanja anajijua mwenyewe..Ni kweli Mkuu, timu yenyewe mbovu, tunaweza kudhani tuko vizuri kumbe mpinzani yuko hoi taabani. Hivi Mkuu ni lini ulisikia mchezaji aitwaye Mombeki kafunga bao 2 zaidi ya jana?
Alibahatisha 4-1, alichomoa kibahatibahati tu na kupata vigoli vya kubahatisha sana. Jana walipiga kelele sana, eti wanaujua wamesahau kuwa kwa muda mrefu sasa walikuwa wamenyong'onyezwa na vichapo tangu Libolo FC hadi URA.
utakufa kwa kihoro cha kusikilizia maana hii yanga utasikia zimerudi zote..mandieta endelea kutujuza maana wengine ndio kwanza tutafika Dar baada ya mapumziko ya wikiendi ya siku takribani nne
nasikia jamaa kaenda simba kumalizia career yake halafu kawaambia hawana hela ya kumlipa ngoja tuone ligi ikiianza atakuwaje maana yeye acheza tu kuhusu mkwanja anajijua mwenyewe..
Hao watakua sio villa sc, bali ni vilaza sc
Duh leo tukishinda 3-1 hawa jamaa watachonga dawa kupiga 8.
Goooooooooooooo
Yanga 4-1 S.C.Villa
Wenye akili wamekuelewa mkuu.Kunya anye kuku akinya bata kahalisha
Goooooooooooooo
Yanga 4-1 S.C.Villa
usikopi wewe kwani wao ni maboya kiasi gani wale nne nne kila siku..Duh leo tukishinda 3-1 hawa jamaa watachonga dawa kupiga 8.
kwikwikwiwkwiwkwiwkwiiiii naona ndugu yangu masuke kapotelea sijui wapi..Sasa je! Paka mwitu ana lipi la kujivunia? Watasema 5-0, narudia mavi ya kale hayanuki.
Hao watakua sio villa sc, bali ni vilaza sc
ukiona manyoyaaaaa