Maskini msuva atozea benchi!...
Gooooooooooooo
Yanga 3-1Villa.
Hahahahahaha,poa mkuu,hapo kwenye red ngoja waje wahusika wakupe za uso.Mkuu, kumbuka kuweka mfungaji wa kila bao. Bado 1 kumalizana na paka mwitu ajiitaye Simba.
Mkuu, kumbuka kuweka mfungaji wa kila bao. Bado 1 kumalizana na paka mwitu ajiitaye Simba.
Hahahahahaha,poa mkuu,hapo kwenye red ngoja waje wahusika wakupe za uso.
Dk 33:
Yanga 3-1Villa.wafungaji Yanga.
Ngassa Dk 7.
Cannavaro dk 27.
Kavumbagu dk 30.
Boli wanalocheza Yanga ni la Uholanzi kabisa.
tehtehetehete ana mechi zake huyo..Maskini msuva atozea benchi!...