Nakiona kifo cha Chadema hichoooo!!
nahisi vyama hivi vimeonesha tabia ya kutokomaa kisiasa za kitoto,kisasi,chuki,wivu,na uoga ni tabia MBAYA,vimewazuia wabunge wake pamoja na kumshinikiza prof. kutohudhuria uzinduz wa ACT Leo n tabia mbaya,ni dalili za chama hicho kufa
Wahudhuliaji wengi Leo ni wauza matunda na wauza urembo hapa mjini. Ambao wote ni waha. Ndio maana Leo wauza matunda na Urembo hawakuwepo kabisa mitaani. Si umeona wengi waliohudhuria walivyochoka kimaisha?. Kweli ni wazalendo.[/QUOTE]
nahisi vyama hivi vimeonesha tabia ya kutokomaa kisiasa za kitoto,kisasi,chuki,wivu,na uoga ni tabia MBAYA,vimewazuia wabunge wake pamoja na kumshinikiza prof. kutohudhuria uzinduz wa ACT Leo n tabia mbaya,ni dalili za chama hicho kufa
TATIZO KUBWA LA HIKI CHAMA CHA ACT ni kupambana moja kwa moja na vyama vingine...hilo ni kosa kubwa wao wangeweka mkazo mambo yao na sera zao lakini kelele hizi mnapiga mtakuja kuachwa tu solemba na media mana mtakua hamna jipya hapo ndio mtajijua
Hata Shibuda hajahudhuria?
sijawahi kuona msaliti aliyefanikiwa .
nahisi vyama hivi vimeonesha tabia ya kutokomaa kisiasa za kitoto,kisasi,chuki,wivu,na uoga ni tabia MBAYA,vimewazuia wabunge wake pamoja na kumshinikiza prof. kutohudhuria uzinduz wa ACT Leo n tabia mbaya,ni dalili za chama hicho kufa
Mwanahabari Huru
Naona jicho lako la kihabari limeona vyema. Filter yeyote kwenye dawati angeweza kukupatia tick kwa kuwa na analytical story...it is when the reporter goes beyond... 'so and so said...'