Niliwambia Bavicha mnywe maji mengi na chakula cha kutosha ona sasa mnazidiwa na dozi...Hakika Saccos ina sambaratika...
Zito kwa miaka isiyozidi 15 ya UBunge, anamiliki mali nyingi kuliko Mwalimu Nyerere na utumishi wake wote aliotumikia Taifa na Mataifa
Zito kwa miaka isiyozidi 15 ya UBunge, anamiliki mali nyingi kuliko Mwalimu Nyerere na utumishi wake wote aliotumikia Taifa na Mataifa
We unataka kulinganisha maisha ya Mwalimu wa miaka ya 70 na wa sasa?
Wapi imeandikuwa kuwa ukishakuwa mwanachama wa chama fulani hutakiwi kuhama na kwenda kwingine?
Wapi imeelezwa kuwa raia haruhusiwi kujifananisha na Kiongozi wake wa kwanza as long as ni mzalendo?
Btw, nimeambiwa kuwa Gf wa slaa nae yupo! hahahaaa!
Chadema kazi mnayo..
Naona vyama hivi vina siasa za kitoto,kisasi na kuzira kama tabia za zamani kike maana hata tabia za mwanamke wa leo anajitambua na anafanya vyema,CHADEMA kuwazuia wabunge wake kutohudhuria uzinduz wa ACT Leo n tabia mbaya,na ni dalili za chama hicho kufa