atug
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,836
- 3,681
hope........
Ma dia umemwona mbwebwe za kumalizia?!
hope........
umesahau kunicc lol........niko hapa mbele ya kioo cha screen yangu
leo laimprove at to Hames
Juliana kasema hiyo style haimfai...
Drama queen na Juliana wnabishana hapa leo
Ian kamsifia nae Hope
hahaha pole Heaven on Earth. hi to DEMBA.
huyu mdada kabishana na judge I kuhusu wimbo wakina josh na hamo. lakini naona judge I was right.
Where can you stand?
haina shidaa Rutta.hapo Hope kasemaje watu wamecheka sana....mind yabgu sijui ilikuwa wapi
Nipo ndani ya nyumba ila saloon bas watu wamekomaa na taarifa ya habar ....wanaonekana kwao ving'amuz ndo hvyo
week ilopita alibishana pia na Ian.........nimeshasahau
siku sikia nilikwenda kupokea simu hata mie nilitaka kuwauliza maana nimekuta watu wanacheka sana.
hhha niko na mama angu ye anataka taarifa ya habari tu asikilize ishu za mvungi......hapa nimemforce tu
niweke TPF
Ian kasema tena Sitenda.....huo wimbo pia haumfai......
Sitenda Leo mhhh..sijui
Ataondoka