Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
haa haaa mie mzima nacheka hizi high heels na hawa wakaka.
leo naona wameamua kutest high hills wanaume. msisahau kumpigia angel kura mimi naendelea.
haa haaa mie mzima nacheka hizi high heels na hawa wakaka.
leo naona wameamua kutest high hills wanaume. msisahau kumpigia angel kura mimi naendelea.
iseee kama kawa ndugu yangu. duu hawa watu wapo serious sana. unaona unavyowajibika?
Am better than yesterday.. Nimependa this words frm Biour
bss? ile ni komedy mkuu, haina tofauti na futuhi coz mie huwa inanifanya nicheke tu mwazo mwisho.wako zaidi ya serious aisee, yani tanzania tuna safari ndefu sana ,hivi ukifananisha na bss yetu kwakweli ndio utaamini tuna jifurahisha.
Kwakweli inabidi tuwapige kura sana, aisee wenzetu wanaimba acha tuu.
Am better than yesterday.. Nimependa this words frm Biour
Am better than yesterday.. Nimependa this words frm Biour
mie hiyo English yake tu, sijui ndio American English nimeona hadi kina hamies walikuwa wanamuact
bss? ile ni komedy mkuu, haina tofauti na futuhi coz mie huwa inanifanya nicheke tu mwazo mwisho.
halafu utawasikia majaji eti "umeimba vizuri sana mara level zako ni za mbele" basi ndio nabaki hoiii
umeona ehh?
Me nafikiri Bss wana mengi ya kujifunza kutoka kwa TPF
best huyu Jenifer naona kiinglish majanga. ila nimesoma profile yake kumbe amekulia Tanzania
bss? ile ni komedy mkuu, haina tofauti na futuhi coz mie huwa inanifanya nicheke tu mwazo mwisho.
halafu utawasikia majaji eti "umeimba vizuri sana mara level zako ni za mbele" basi ndio nabaki hoiii
huwa wanaangalia coz kuna mwaka niliwahi kuwasikia wanamjaji mtu kwamba level zake ni za TPFwiki iliyopita niliangalia yani nilicheka sana, alaf ubaya zaidi hata host hapendi kusikia mshiriki akiambiwa ameimba vibaya yani analazimisha aambiwe ameimba vizuri. Yani na zile kelele za band +kelele za waimbaji kwakweli nilisikitika sana kuona Bss haina maisha marefu.
Kibaya zaidi washiriki wakiambiwa ukweli mashabiki wanakuja juu?kuna kipindi fulan p.funk na salam jabir waliandikiwa makala heti wawe na ubinadamu heti kisa kuwambia ukweli washiriki.
Huwa najiuliza ni kitu gani tanzania tunaweza kukifanya vizuri?
HIVI HAWA WAANDAJI WA BSS WANAANGALIA KWELI TPF?
Wajifunze tena sanaa. Madam akitaka bss ifanye vzr abadilishe judges.. Huyo mwl wa vocal hata cmwelewag na cion kazi yake amtafute mwl mzr kikubwa wawe serious watafika japo kwa mwendo wa kinyonga comparing wit TPF
huwa wanaangalia coz kuna mwaka niliwahi kuwasikia wanamjaji mtu kwamba level zake ni za TPF
Hivi kweli ni fair kumuweka rich mavoko au wakina lamar watoe marks?
Hivi kweli Majudge wetu wako seriou
hila washiriki wa kule huwa wana niacha hoi pamoja na majudge wao.
Napale hakuna mwalimu wa music kabisa maana hakuna maendele kabisa.
Hivi kweli ni fair kumuweka rich mavoko au wakina lamar watoe marks?
Hivi kweli Majudge wetu wako seriou