walah leo simba hatoki!
Dakika ya 87 Taifa Stars 2-1 Gambia
Madai yake anapoteza muda......Kaseja very unproffesional,ndo mpira gani sasa huu
Kaseja karukia mpira na kupata majeraha baada ya kuanguka.
Safiiiiiiiii!
Dakika ya 89 sasa......tuoombe mungu wasirudishe
mboga za iringa mbaya sana, wewe badala ya kula utakuwa unavuta moshi wake, kwa hiyo maximo wako na kina ivo walikuwa hawafungwi.
wameongeza dk ngapi?
Safiiiiiiiii!
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza,na kama haujakiona kitu ni bora kukaa kimya....Hajabebwa mtu,tumewazidi kimchezo na hata penati ni ya ukweli kabisa maana jamaa kaunawa mpira....Sasa sijui ulitaka refa aache....Bila kubebwa ngoma ilikuwa isha kula kwetu hiyo.
Naona mnaongoza ehee!we kweli ni Kandambili tena Oversize: Taifa Staz unaiita Simba! kweli goli 5-0 zilikuchanganya.