Anyway nisingependa sana malumbano na wewe kwenye hili ila nilikupa angalizo tu kwa mbegu unayopandikiza kwa watanzania.
lakini hata hizo ahadi labda kama ni zingine ambazo sikuzisikia lakini kama ni zile walizoahidi hata mimi nilizisikia. na ndo hicho nilichokueleza, kwa maana oppotunity ikitokea watapata. hata mimi nina majirani ambao watoto wao wamepata ajira ya upoliccm. lakini sio kwa huo uchochezi unaouleta.
labda nikuachie tafakuri ndogo tu. jiulize hao wote wanaomaliza JKT kila mwaka wanaweza kuajiriwa na serikali? kwa kazi ipi?
Kwa heri chakaza na jumapili nje,a.