Live updates: Mkutano wa CHADEMA viwanja vya Dr Slaa - Mbeya

Hana jipya huyo mzee, amekua katuni siku hizi ndio maana watoto wanajazana kumuona

Ona lisukuma lijinga hili linavyoweweseka! Limeona kwenye habari kuna jina la Dr. Slaa likajua ndiye anayehutubia! Mwaka huu mtajibeba!
 
CCM bado Imara hizi mbwembwe za mda mfupi tu CCM OYEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Naona mnataka kushindana na CUF. Haya sisi tunajionea wenyewe

We malaya wa siasa naona chance ya uDC imekupita kushoto ulizani kutukana viongozi wa CHADEMA muda ule ulipofukuzwa BAVICHA ungesaidiwa kupata uDC? Pole sana sasa umetumika sana na mkuu wa kikoi cha mauwaji Chemba la Choo na sasa umetupwa kwenye plastic bin kwani ni used!😳😳😳😳😳😳😳
 
Sure kaka. DJ Zero hana jipya

Siku hizi unauzia wapi body??? Mbona pale Ambience huonekani na hats kwenye misafala ya Mwigulu Nchemba huonekani! Au imesuguliwa sana hadi umekosa radha?👹👹👹👹👹👹👹👹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom