BIGURUBE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 6,743
- 4,227
Sure kaka. DJ Zero hana jipya
Naamini kama hana jipya usingepoteza mda wako kutoa comments hapa
Sure kaka. DJ Zero hana jipya
Hana jipya huyo mzee, amekua katuni siku hizi ndio maana watoto wanajazana kumuona
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Hana jipya huyo mzee, amekua katuni siku hizi ndio maana watoto wanajazana kumuona
ukishaishiwa hoja ndo unauliza swali kama hili..Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Nchi sio peremende CCM haina mbia na nchi yake mtasubiri sana.
mbona naona wengi wao wamevaa nguo nyeusi wana msiba
Yaani imetokea kuchukia tu nguo ikiwa na rangi ya sare ya magamba.wamependeza ile mbaya sio kama wale misukule na nguo zao za kijani
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Naona mnataka kushindana na CUF. Haya sisi tunajionea wenyewe
Sure kaka. DJ Zero hana jipya