lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
salamu tosha kwa watawala.
lazima tuchukue nchi
salamu tosha kwa watawala.
wakuu hao ni watu au macho yangu?
Sure kaka. DJ Zero hana jipya
lazima tuchukue nchi
Wewe kweli Hot lady! Wenzako kwa huo u-hot wameambulia uDC wewe unahongwa bia kisha unatuletea maandiko yako ya kilevi! Kweli wewe ni janga.Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Nchi sio peremende CCM haina mbia na nchi yake mtasubiri sana.
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Hivi huko Mbeya ameenda na Joyce Mukya ama na mama Liliani Mtei?
Ameenda na mamaako! Au umemind ulitaka uende wewe!
ikulu inawasubiri UKAWA