By
WinguHapo itakuwa kwaya zinapigwa
na bibilia zinauzwa kwa kwenda mbele.Halafu huyu jamaa na jina lake
hata haviendani Mungu amsamee bure kwani hajui atendalo.
Hapo ndo CCM mlipofikia.Mkiambiwa mnabagua wananchi kwa imani zao,mtajiteteaje?Mmefikia mwisho wa kufikiri.