Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea


.....

Asanteni sana Makamanda!!!

...dadadek CHADEMA ni zaidi ya
nyuki...

CC biologist ....ecologist.....The big show ...Kusini hub....
 
Hapo utakuta hata hao mabodygurd ni wachaga hichi chama balaa
 
Obam mkuu unatujazia thread bure hakuna jipya unalotuambia .Ila . Nidhairi hata kuku unapomchinja laxima atapetape
 

 
Hakuna hata gazeti moja lililoripoti habari ya Chadema Songea

Wananchi wanaenjoy maisha huko songea wanasoma habari ya gazeti siku moja baada ya kutoka Gazeti limeandika halikuandika wananchi wanachojua ni CHADEMA tuu ona sura zao zilivyonabashasha , mitandao ikiruhuru na inteneti, waandishi watatuma tuu habari
 
Walitegemea watoto wangekatazwa na mama zao wasiruhusiwe kwenda mikutano ya CDM, kwa hofu ya mabomu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…