MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Kwa hiyo hao wanawake wapaka mkorogo ndio watu zaidi yai wengine Kinana analokubwa sana la kujifunza kwenye mkutano wa leo Morogoro ni mkutano umeleta wajumbe na mabasi ya Abood toka sehemu mbalimbali za mkoa wa morogoro hilo tu la kufanya maandalizi ya kusomba watu ni funzo tosha Tanzania ina vijana kwa aslimia 71 ndio uwaonao, wewe mwenyewe ni kijana unapambana hapa mlete kigunge tuone usidharau mwiba hapo vipi?
Mkuu hawa jamaa ni janga la taifa,Kwa hiyo unataka niwe Mother Theresa?. We vipi bana.
Kama unaota chama cha siasa kitakuja kukubadilishia maisha, endelea kuishikilia ndoto yako na utakufa maskini.
Ushauri wangu kwako, Chama kitakachokuondoa kwenye dimbwi la ufukara ni kufanya kazi kwa juhudi na maalifa.
Wanahangaika na picha wakati mkutano ulikuwa LIVE kwenye TV na pia kwenye radio.Chadema hawana ujanja kwa Kinana
Ukiangalia historia inajiandika yenyewe
Kinana ndie aliyemuweka Mkapa madarakani na sasa Kikwete na ndie atayeongoza kampeni za Jembe letu 2015
Kuna ngoma nyingine huchezwa na wakubwa tu, Chadema wao ni ngoma ya kitoto, haikeshi!
Mie naomba unitajie jina la Mbunge wa CHADEMA ambae jana ulituambia kwamba angejiunga CCM leo wakati wa mkutano wa Morogoro!!Bila shaka ameshajiunga tayari; ni nani?Kinana ameimaliza Chadema Morogoro kwa kuwaeleza wananchi namna inavyoshiriki mambo ya hovyo hovyo, ikiwemo uzushi na vurugu.
Ukitaka kujua CCM ni nani angalia uchaguzi wa madiwani mwishoni mwa mwaka jana utapata jibuWanahangaika na picha wakati mkutano ulikuwa LIVE kwenye TV na pia kwenye radio.
Hakuna cha spinning hapa, kama ni lugha ya picha tunaifahamu sana.
Wasije tu wakapatwa na ghafiriko la moyo. inabidi waanze kuzoea mapema.
Hii ni CCM na inasonga mbele.
Wao wakiwa bado wanafikiria nani atakuwa mwenyekiti na katibu wa chama taifa baada ya 2013, sisi tunajiandaa na zoezi lililo mbele yetu la mchakato wa katiba.
Chadema hawana ujanja kwa Kinana
Ukiangalia historia inajiandika yenyewe
Kinana ndie aliyemuweka Mkapa madarakani na sasa Kikwete na ndie atayeongoza kampeni za Jembe letu 2015
Kuna ngoma nyingine huchezwa na wakubwa tu, Chadema wao ni ngoma ya kitoto, haikeshi!
Kwa mawazo waliyonayo, baadhi yako hakuna hata maana ya kuwasikitikia. Wako kwenye ndoto za mchana ambazo zimeisha kuwa kama gundi.Mkuu hawa jamaa ni janga la taifa,
Wengine wameacha hata kufanya kazi wanasubiri 2015
Sikatai Mrema alikuwa na nguvu sana na bila kuingia Mwl Nyerere mchuano ungekuwa mkali lakini ni sehemu ya CCM na Kinana ndie alieongoza kampeni,Angalia AKILI ndogo hii, HIvi bila Nyerere kutoka BUTIAMA, MREMA si anangesha wanyonga MACCM wote.
yani hata Historia ya 95 tu huijuhi.
kweli wewe mgonjwa!
Wanahangaika na picha wakati mkutano ulikuwa LIVE kwenye TV na pia kwenye radio.
Hakuna cha spinning hapa, kama ni lugha ya picha tunaifahamu sana.
Wasije tu wakapatwa na ghafiriko la moyo. inabidi waanze kuzoea mapema.
Hii ni CCM na inasonga mbele.
Wao wakiwa bado wanafikiria nani atakuwa mwenyekiti na katibu wa chama taifa baada ya 2013, sisi tunajiandaa na zoezi lililo mbele yetu la mchakato wa katiba.
Kwani nani aliyekuwa master plan wa kumuingiza Mwl Nyerere kwenye kampeni za Rais Mkapa baada ya kubaini mapungufu kwenye kampeni. Think bigger.Angalia AKILI ndogo hii, HIvi bila Nyerere kutoka BUTIAMA, MREMA si anangesha wanyonga MACCM wote.
yani hata Historia ya 95 tu huijuhi.
kweli wewe mgonjwa!
Mkubwa ninachoogopa ni baada ya 2015 hawa vijana watafanya nini kwani wengi watakuwa wameisha kata tamaa ya maishaKwa mawazo waliyonayo, baadhi yako hakuna hata maana ya kuwasikitikia. Wako kwenye ndoto za mchana ambazo zimeisha kuwa kama gundi.
2016 itawafundisha mengi pale watakapo uona ukweli wa neno CCM yasonga mbele.
Mkuu, Inawezekan ni mmoja wa vijana wa CHADEMA DIGITAL. Hajui nani aliyekuwa kinara wa kampeni 1995 ambaye ndiye aliyeona umuhimu wa kumuingiza Mwl. Nyerere kwenye kampeni na wakaenda kumuomba kufanya hivyo.Sikatai Mrema alikuwa na nguvu sana na bila kuingia Mwl Nyerere mchuano ungekuwa mkali lakini ni sehemu ya CCM na Kinana ndie alieongoza kampeni,
Anyway wewe kinakuuma nini ya upande wetu? nyie endeleeni kushughulikia suala la Lwakatare
Kwanza nimeanza kuamini kuwa kwa namna moja au nyingine suala la Uli mnahusika, Ningekuwa bado kwenye kazi yangu ya zamani lazima ningeomba nimweo kwenye timu inayopeleleza hii kesi....
Hawa makamanda makamasi noma sanaMkuu, Inawezekan ni mmoja wa vijana wa CHADEMA DIGITAL. Hajui nani aliyekuwa kinara wa kampeni 1995 ambaye ndiye aliyeona umuhimu wa kumuingiza Mwl. Nyerere kwenye kampeni na wakaenda kumuomba kufanya hivyo.
Leo mkutano wa chadema hakuna aliyeufuatilia. Hahahahahahahahahahahahahaa
Katibu wa ccm mkoa wa moro sixtus mapunda anasema watu 4300 wamejiunga na ccm ktk ziara ya kinana mkoani moro