MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Kwa hiyo unataka niwe Mother Theresa?. We vipi bana.unavyoongea utadhani ukoo wenu wote mnaishi ulaya, unaita vichocholoni wakati umeacha nduguzo kibao, hivi we unaona kuishi ulaya ndo dili? na ndo hata likizo huwezi kuja maana ukitoka tu ndo hurudi tena. sasa taarifa yako hivyo vichocholo ni zao la uongozi wa miaka 50 ya chama chenu, eti unasema unaangalia mpira kwenye home tv room. kumbuka wakati wewe una chumba maalumu cha kuangalizia tv huku kuna watanzania wanaishi kwenye chumba kimoja, kitchen, tv room, sitting room, dining room nl ni hapo hapo. you sound silly...
Bora ya CCM inamlipa msanii kuliko nyie mnaolipa watu waende kuua wauza magazeti kwenye mikutano yenu.
Una Uhakika HUO? Sasa ni Serikali ya nani ilimlipua MWANGOSI? ni Nani aliyemtoa Makucha na Meno yule Daktari wa Muhimbili? na kinachoshangaza ni kuwa Hakuna KESI zao MAHAKAMANI - Haya kuna MWANDISHI wa MTANZANIA aliyofyatuliwa RISASI JICHONI na kuvunjwa kucha hapo ni CHAMA na Serikali ya nani ilifanya hivyo? na MBONA Nape Nnauye alivyotaka kwenda kumtembelea HOSPITALINI Mgonjwa aligoma kuonana na huyo NAPE NNAUYE? hivi ni kwasababu ya MADUDU aliyoandika kwenye FACEBOOK page yake????
Na cha kushangaza ni kuwa VIONGOZI wa SERIKALI Tawala hawajui DEFINITION ya GAIDI... Inasikitisha kweli...
Kwa hayo maswali uliyoniuliza, nina uhakika ikitokea mke/mume wako "katembea nje" utaniuliza "Aliyesababisha mke/mume wangu atembee nje ni nani kama siyo serikali?".
Kama akili yako inafanya kazi vizuri angalia aina ya watu walio kwenye huo mkutano halafu njoo uangalie aina ya watu waliokuwa kwenye mkutano wa CCM then utaelewa kitu.
Ndiyo maana 2015 mtaendelea kulalamika mmeibiwa kura kama alivyolalamika mwenzenu Odinga.
Pole situpo kulinganisha za leo Kinana apwaya kwenye ngome ya CCMhapo vipi?
chezea wasomali wewe....Kinana ameimaliza Chadema Morogoro kwa kuwaeleza wananchi namna inavyoshiriki mambo ya hovyo hovyo, ikiwemo uzushi na vurugu.
R.I.P chadema
Kwa hiyo hao wanawake wapaka mkorogo ndio watu zaidi yai wengine Kinana analokubwa sana la kujifunza kwenye mkutano wa leo Morogoro ni mkutano umeleta wajumbe na mabasi ya Abood toka sehemu mbalimbali za mkoa wa morogoro hilo tu la kufanya maandalizi ya kusomba watu ni funzo tosha Tanzania ina vijana kwa aslimia 71 ndio uwaonao, wewe mwenyewe ni kijana unapambana hapa mlete kigunge tuone usidharau mwiba hapo vipi?Kama akili yako inafanya kazi vizuri angalia aina ya watu walio kwenye huo mkutano halafu njoo uangalie aina ya watu waliokuwa kwenye mkutano wa CCM then utaelewa kitu.
Ndiyo maana 2015 mtaendelea kulalamika mmeibiwa kura kama alivyolalamika mwenzenu Odinga.
Hawaamini macho yao kwa vile wengi wao wamejazwa daydream. CCM inasonga mbele kuelekea general election 2015 wakati wao wanahangaika na kusoma picha za mikutano.R.I.P chadema
Chadema hawana ujanja kwa KinanaHawaamini macho yao kwa vile wengi wao wamejazwa daydream. CCM inasonga mbele kuelekea general election 2015 wakati wao wanahangaika na kusoma picha za mikutano.
CCM inakwenda door to door, mtaa kwa mtaa, kijiji kwa kijiji, kata, tarafa, wilaya na mkoa kwa mkoa.
Yaani Kinana anawatoa kamasi tu katika ziara zake za miakoa miwili tangu awe katibu mkuu.
Kibanda alishawaambia kuhusiana na uongozi wa Kinana wakamwona ni kibaraka.
YANATIMIA. OPEN YOUR EYES GUYS.
Nipo katika mitaa ya mji kasoro bahari kama kawaida naona jezi za CCM zimetapakaa maeneo mengi ya mji huku maroli na mabasi ya abiria yakisombawanachama toka pande zote za mkoa ili kuhudhuria mkutano wao.
Bodaboda zinaanza kuadimika mara baada ya CCM kuwakodisha kwenda katika maandamano
Kama kawaida yao Katibu wa Zanzibar aanza na mipasho kwa kukashifu CUF kuwa toka kinaanzishwa baba na mama na kitanda kilivyoanzishwa na mimba ilivyoingia anajua.
Ila kwa ufupi watu ni wachache mnoo sio kama ilivyotarajiwa na raia wengi wamekaa kwenye viti.
Updates.
Mbunge wa morogoro anaongea ila kama JK lazima asome.
Nape anaona watu wanaondoka anawambia Diamond anatudi stejini kuburudisha