LIVE UPDATES: Mkutano wa CCM Morogoro

Halafu cha kufurahisha zaidi, mikutano ya CCM inakuwa na watu wenye heshima zao. Huwezi kukuta vibaka na wahuni kwenye mikutano ya CCM.

Mikutano ya CHADEMA inajaa wahuni na vibaka kwasababu wanajua muda wowote "kinanuka" kwahiyo watapata nafasi ya kuiba.
 
Mambo ilikuwa mwanza leo jana wanamume wa kazi walipiga kazi dodoma leo mwanza,morogoro hakukua na issue zaidi ya kuipa promo chadema lazima tuizike ccm 2015.
 

TAKE THAT hapo HAKUNA DIAMOND... Hakuna PESA za Makatibu Kata; Malori na V-Khanga na V-Tisheti vya CCM - NI MWANZA MKUTANO wa CHADEMA

 
mkubwa jaribu kuangalia huo mkutano na utaona kuna malori na mabasi yamepaki pemben then conclusion ni kua weng wametolewa mbali na kuletwa na magari ya CCM na hao wahudhuriaj wana posho tofauti tofauti
 

Una akili timamu kweli wewe humo kichwani? ile ilikuwa tsunami...



Alafu Mungu alivyokuwa mkubwa akadondosha bonge la mvua ili wakome kabisa... Jangiri likabaki kusema "Jamani nawaomba msiondoke, namaliza sasa hivi, nawaomba sana msiondoke"...

Kwa kifupi leo Jangiri na wachumia tumbo wenzake wamedhalilika sana...

Ccm wamepanic - Dr. Slaa
 
TAKE THAT hapo HAKUNA DIAMOND... Hakuna PESA za Makatibu Kata; Malori na V-Khanga na V-Tisheti vya CCM - NI MWANZA MKUTANO wa CHADEMA


Kwa hao watu unaowaona hapo kuna mpiga kura hapo? Au wamekuja kushangaa kama wale walioenda kushangaa watu wa kufikirika walionasana pale Temeke Hospital? Kamuulize Odinga kilichomkuta Kenya na umati wake wa kwenye mikutano.
 

Mbona na NOPE pia alipata ZERO form Four NSUMBA?
 

soma alama za Nyakati,... Badilika penda Maendeleo. Nchi Imedumaa wewe unaona sawa tu -
 

unajidanganya mzee chadema iko mioyoni mwa watu sio kadi hata kinana mzee wa tembo analijua hilo ndio maana hotuba yake yote leo imejaa chadema tu.
 
mimi nilifikiri unaniambia ccm wametekeleza ahadi zao lukuki walizotoa 2010! Kumbe kama kawaida yao wamesomba watu kwa magari na kuwakalisha kwenye viti kwa posho ya elfu 5 na pia kuwadanganya na wabana sauti wa bongo flava? Kwa akili ya kawaida inasikitisha sana na sikutegemea kwa kijana wa karne hii kussuport upuuzi pasipo kujua nchi inakoelekea.
 
Kwa hao watu unaowaona hapo kuna mpiga kura hapo? Au wamekuja kushangaa kama wale walioenda kushangaa watu wa kufikirika walionasana pale Temeke Hospital? Kamuulize Odinga kilichomkuta Kenya na umati wake wa kwenye mikutano.

Kama Unavyojua NYAMAGANA na ILEMELA zilikwenda kwa CHADEMA... Mkoa wa Mwanza Ulikwenda kwa Dr. Slaa... Sasa hapo ndio Jasho la CHI CHI MAFISADI
 
unajidanganya mzee chadema iko mioyoni mwa watu sio kadi hata kinana mzee wa tembo analijua hilo ndio maana hotuba yake yote leo imejaa chadema tu.

Ulishawahi kwenda kwenye ibada halafu shetani asitajwe?
 
TAKE THAT hapo HAKUNA DIAMOND... Hakuna PESA za Makatibu Kata; Malori na V-Khanga na V-Tisheti vya CCM - NI MWANZA MKUTANO wa CHADEMA


Wacha kabisa hii kitu inayoitwa CHADEMA .
 
Kama Unavyojua NYAMAGANA na ILEMELA zilikwenda kwa CHADEMA... Mkoa wa Mwanza Ulikwenda kwa Dr. Slaa... Sasa hapo ndio Jasho la CHI CHI MAFISADI

Si mlisema mliibiwa kura?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…