Gooo, atm wanapigwa bao la kwanza hapa, sasa tutegemee makontena, malori, matreni na matakataka yote kuwekwa golini kwa chls
Swadakta, hasa kipindi cha pili
Kazi imeanza
Nimesikia honi ya treni kwa mbaliiiii
Nimesikia honi ya treni kwa mbaliiiii
teh teh teh..
Gooo, atm wanapigwa bao la kwanza hapa, sasa tutegemee makontena, malori, matreni na matakataka yote kuwekwa golini kwa chls
Sasa watapaki mabasi matatu
Muda wa mabehewa umewadia
Nimesikia honi ya treni kwa mbaliiiii
kazi wapi mkuu? Jose kashamaliza anasogeza tu dk zake aweke behewa zake mpira usitembee kabisa