Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Mpira unaonekana kua wa kuviziana kwa namna flani
 
Hawa.jamaa wanaviziana sana. Chelsea wanaboss possession ..ila.atakayeanza kufungwa naona itakuwa ngum kurudisha
 
Dondoo:
inaonekana Shwazer ameambiwa kua anapoteza muda kwa kukaa na mpira kila akiudaka, pia tery anaonekana hayuko imara kimchezo nadhani maumivu ya mguu yanambana japo anajikaza
 
Toreeeesssss,. Goooooooooooooooooooooooooooooooooo! chls 1 ATM 0, dk 36
 
Back
Top Bottom