Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
Haya kumekucha tena
upo hapa eehh!!
Haya kumekucha tena
Hawa bana wameruhusu vipi goliii
Hahahaha Chelsea wamekuwa na sifa mbaya siku hizi
Ohh Goli limerudi, basi treni na mabehewa hatuoni kwa muda huu
Chelsea hapa ndo mwisho wao...hawaendi popote
Hawakupaki mabehewa nyuma
upo hapa eehh!!
Hawakupaki mabehewa nyuma
goli la torres limedumu kwa dk 5 tu..
hahaa yap baby nipo apa uldhan kwenye mchepuko?
David luiz.naona aligeuzwa nje ndani apa goli la pili
Heart rate ya jose inaonekana kufika 115 bpm
haya bana wacha na mimi nishuhudie wazee wa kupaki treni wanavyopigwa mchana kweupeee...
Chelsea walijisahau wakaanza kupaki mabasi, kabla hawajajiandaa wakawahiwa!
Wana kazi ya ziada.
dizaini yao ni moja kwani magoli yamefungwa dizaini moja tu..