kazi wapi mkuu? Jose kashamaliza anasogeza tu dk zake aweke behewa zake mpira usitembee kabisa
weka update za magoli..Twende hatua kwa hatua kweny mtanange huu
=======================================================================
LINE UPS
=======================================================================
![]()
![]()
Mourinho ni specialist wa kupaki basi tu, mpira wa bila kupaki basi hauwezi hata kidogo!!!
Chelsea hapa ndo mwisho wao...hawaendi popote
Hahaaaa hawa Chelsea ndo safari now
Mourinho ni specialist wa kupaki basi tu, mpira wa bila kupaki basi hauwezi hata kidogo!!!
No mkuu ,leo watapaki basi huku wakipiga counter za hatari sana.the only way kwa atletico ni kucheza total football.