Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Kona inapigwa kuelekea atm, inapigwa paleee , anawekwa chini mchezaji wa bluu sasa ni faulo kuelekea atm
 
Faulo inapigwa na mpira unatoka nje, ni goal kick
 
Pole mkuu, kwa nini lakini umesema hivyo?

Kanichekesha huyo mkuu nilo m-quote kuwa ATM wakizubaa tu wanapigwa goli 1 kisha wanakumbana na mabehewa ya morinho wanakosa pa kupita wakafunge na wao
 
Kanichekesha huyo mkuu nilo m-quote kuwa ATM wakizubaa tu wanapigwa goli 1 kisha wanakumbana na mabehewa ya morinho wanakosa pa kupita wakafunge na wao

Lakini huo si ndo ukweli au aliyesema kakosea?
 
Atm wanalizongazonga lango la chls kwa shinikizo la hali ya juu nadhani zaidi ya 140/90mmHg
 
wakicheza hivi hivi basi atakae fungwa goli halirudi..
 
Leo chls wanafunguka kwa kiasi fulani ila wakipata goli ladha yote ya mpira itapotea kama mumjuavyo jose

Yani chelsea wakifunga tu, ladha ya mpira inaishia hapohapo, tutaanza kuona makontena tu nyuma yamepakiwa, na kupoteza muda. Halafu morinho atashangilia kama zuzu huku akipigapiga kifua
 
hawajajipanga kwa hazard hawa atl akitulia dogo anaweza kusababisha goli..
 
Yani chelsea wakifunga tu, ladha ya mpira inaishia hapohapo, tutaanza kuona makontena tu nyuma yamepakiwa, na kupoteza muda. Halafu morinho atashangilia kama zuzu huku akipigapiga kifua

umeona ee?
 
Namwona jose kwa pembeni mapigo ya moyo wake yanakaribia 112 bpm
 
Hazard anapiga mnazi juuuuuuuuuuuuuuuu, unatoka nje. Dk 26 hawajafungana
 
Back
Top Bottom