Chealsea leo hawaponi
Hapana....atakuwa real madrid.
Ndiyo maana mimi uwa nasema Maureen siyo mwalimu mzuri wa mpira...yeye ni mjanja mjanja tu...
Usiku mwema wote mlioiombea mabaya chelsea.
Kuonekana jukwaa hili mpaka wiki mbili zipite.
Ndiyo maana mimi uwa nasema Maureen siyo mwalimu mzuri wa mpira...yeye ni mjanja mjanja tu...
Hapana....atakuwa real madrid.
hawezi kuwa kila siku spesho, ukivaliwa utauzwa kama mtumba.
View attachment 154945Mourinho basi
Filimbi ya Mwisho kwa mpira upi?!
- nyie subirini filimbi ya kuwarudisha kati mara ya pili!
- na ndo hiyoooooooooooooooooo!!!
Hii sala ngumu sana hii
hawezi kuwa kila siku spesho, ukivaliwa utauzwa kama mtumba.
Morinyo na guadiola ni wababaishaji tu hamna makocha pale