Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Diego simione natabiri atapewa timu kubwa zaidi very soon
 
Jose heart rate inasoma 200 bpm wakat pressure iko over 140/90 mmHg
 
Master tactician wa kupaki basi tu, hawa uwezo wa kucheza mpira wa Vyumba..
 
Tangu lini Kaizer akawa Chelsick? Mi najua hõmuboi wangu huwa hatembei peke yake kama ambavyo mimi sitembei mwenyewe.

Namshangaa bilionea wa arusha huyu!! Ebu giness nyingine tafadhali:beer::beer::beer:
 
Last edited by a moderator:
Walizoea kushinda kizalizali leo wanajifanya kufunguka kumbe Ndio wanaachia njia vizuri,
Maskini morinyo anagegedwa hivi hivi
 
Nilisema kwenye uzi fulani kabla ya droo ya semi final,kwamba R.Madrid wako radhi wakutane na B.Munich au Chelsea lakini siyo Atl Madrid katika semi.

Kukutana na hawa ni kama bibi kizee kumvagaa baunsa
 
Nili-Bet Atl anashinda 3-1 sasa wasifunge tena...
 
anatumia DCM....hakujua kuwa DCM ni fupi kuliko LONDON DOUBLE DECKER BUS alizozoea.

Hahahah DCM halitampa ubingwa wa EPL kama ambavyo limemnyima la UCL.

Mungu yu mwema sana.
 
Haya mnaosemaga Hazard anaweza kukaba, mmeona goli 2 zote zimetoka kwake.

Oh eti Mata hawezi kusaidia ukabaji hivyo hafai kwa Maureen...haya sasa Hazard wenu huyo anawapeleka fainali...
 
Mkuu lazima nikutafute kesho, ulivyootea jana ndio inatokea na ninavyojua lazima ulipitia bookies

Halafu ni mwisho wa mwezi huu lazima uliweka hela nyingi lol

Ila mpira lolote linaweza kutokea ngoja tusubilie kwanza

Hahahaha ningekuwa mtu wa kutembelea bookies kama mshikaji wa Liverpool ningezivuta aisee, kitu kingine huku hatuna hizo au sijawahi kuckia wakibet ktk soka
 
Mourihno nimegundua asipopaki makontena yake hawezi kushinda

Anachokijulia yeye ni kupaki makontena tangia kipindi cha kwanza na akuotee ukijisahau afunge goli la kudondokea (Kama vs Liverpool}

Akiamua kuanzia mwanzo kushambulia anakuwa hana plan b
 
Back
Top Bottom