Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

kuna jamaa anaitwa Ntuzu na mpwa wake agosti 8 mmewaona mitaa hii maanake nimepita kwao kule darajani hawaonekani kabisa!!!!

Ntuzu ni mtu wa kwetu namjua atajitokeza Mara timu yake ikishinda! Mambo yakienda murama hamtamsikia hapa!
 
Last edited by a moderator:
naona upepo mkalii unatikisa sana ule upandeeee kule kwenye ile yard ya makondena mpaka yanatikisika na kusogezwa pembeni.
 
naona upepo mkalii unatikisa sana ule upandeeee kule kwenye ile yard ya makondena mpaka yanatikisika na kusogezwa pembeni.

kontena bila ushindi ni sawa na debe tupu
 
Huu uzi ni wa wapinga chelsea nini naona hoja zenu zinanifanya nilog off.

log off haraka MKUU maana wanachofanywa Chelsea ni hatari sana UKiona utalala unaota main mzima aiaee
 
Back
Top Bottom