Nili-Bet Atl anashinda 3-1 sasa wasifunge tena...
Hahahah DCM halitampa ubingwa wa EPL kama ambavyo limemnyima la UCL.
Mungu yu mwema sana.
Ewe MOLA tunusuru na mkasa wa kutolewa nyumbani.
Nani kaliwa nimeamshwa na makelele ya mtaani kwetu
wivu wa ni babu? na mie nazuia michepuko bana....Nawaoneeni wivu. Kati yenu nani atakuwa Morinyo?
Walizoea kushinda kizalizali leo wanajifanya kufunguka kumbe Ndio wanaachia njia vizuri,
Maskini morinyo anagegedwa hivi hivi
Natabiri bingwa atakuwa ATM.
Guys mark my words.
Nani kaliwa nimeamshwa na makelele ya mtaani kwetu
mkuu hili jamaa hua lina bahati kama chicharito na josee hupenda kulitumia kwenye gemu kama hizi
Mourihno nimegundua asipopaki makontena yake hawezi kushinda
Anachokijulia yeye ni kupaki makontena tangia kipindi cha kwanza na akuotee ukijisahau afunge goli la kudondokea (Kama vs Liverpool}
Akiamua kuanzia mwanzo kushambulia anakuwa hana plan b
utanipoza sh ngapi nikufanyie mambo hapa naishi karibu na mtaalamu
ze spesho one, ze contena man, ze bus boy, ze morinyo son of josee kakalia kitu chenye ncha kali