Umeona eeh baby ake....safi sana
Hommie nambie Morinyo leo anatumia Yutong au Marcopolo?
dk ya 66 Torres nje Ba ndani
Demba ba anazani ataokota tena embe chini ya mnazi,hahaha
DonDonald nilikwambia majibu yatapatikana dk ya 60. Ngoja tusubiri tuone kama Chelsea watafunga magoli 2
anatumia DCM....hakujua kuwa DCM ni fupi kuliko LONDON DOUBLE DECKER BUS alizozoea.
Nawaoneeni wivu. Kati yenu nani atakuwa Morinyo?