Live Updates: Azam & Simba Matches

tunajua kuna mgomo baridi dhidi ya kocha
Wachezaji wetu hawajielewi, wao wanadhani wanamkomoa kocha? Sana sana tunaoumia ni mashabiki na wanachama wa Simba na sio kocha. Na kama wataendelea kufanya vibaya watu wataacha kwenda uwanjani na wao posho zao lazima zipungue kwa hiyo hasara ni yao wenyewe.
 
Halafu hawa wachezaji wanacheza ovyo kweli, muda wote wanashambuliwa wao tu.
 

Wachezaji wa bongo bhana. Sasa huo si ujinga? Wanachama wawatembezee bakora.
 
Azam wapo mbele kwa goli 1-0 lililofungwa na Kipre Tchetche dakika ya 41 sasa ni dk ya 45 na ni mapumziko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…