Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #181 Dk 80 Simba SC 1 - 0 Kagera S
PrN-kazi JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 2,900 Reaction score 445 Oct 31, 2013 #182 Makoye Matale said: Kagame Cup iliyofanyika Darfur, timu ngapi bora hazikushiriki? Mwerevu katika vipofu ni yule mwenye jicho moja. Click to expand... haya malumbano hayana tija; watu tunaitaji Magoli.
Makoye Matale said: Kagame Cup iliyofanyika Darfur, timu ngapi bora hazikushiriki? Mwerevu katika vipofu ni yule mwenye jicho moja. Click to expand... haya malumbano hayana tija; watu tunaitaji Magoli.
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Oct 31, 2013 Thread starter #183 uyu mombeki ni wakupiga makofi ya makalio
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #184 Simba wanapata kona...Kagera wanaokoa...
Joel humphrey Senior Member Joined Oct 22, 2013 Posts 184 Reaction score 88 Oct 31, 2013 #185 watu8 said: Dk 80 Simba SC 1 - 0 Kagera S Click to expand... Leo upo uwanjani nini ?. Maana unanipa raha sana na updates zako
watu8 said: Dk 80 Simba SC 1 - 0 Kagera S Click to expand... Leo upo uwanjani nini ?. Maana unanipa raha sana na updates zako
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Oct 31, 2013 Thread starter #186 kona kwenda simba
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #187 Kagera wanapata kona....kipa wa Simba anadaka
M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Oct 31, 2013 #188 Hawa Kagera Sugar ni noma wanaweza kuharibu muda wowote, Simba ongezeni japo la pili tupumue.
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Oct 31, 2013 Thread starter #189 wanakosa kona apa
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #190 Kageraaaa...wanakosa
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #191 Dk 40 Simba SC 1 - 0 Kagera S
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Oct 31, 2013 #192 Dak. 87 SSC 1-0 KGS.
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Oct 31, 2013 #193 Huyu Paul ni mzuri wajameni..... kifutiboli...
PrN-kazi JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 2,900 Reaction score 445 Oct 31, 2013 #194 watu8 said: Kageraaaa...wanakosa Click to expand... Uandishi huu ni wa kuofia kusogezwa nafasi ya 4 bila shaka.
watu8 said: Kageraaaa...wanakosa Click to expand... Uandishi huu ni wa kuofia kusogezwa nafasi ya 4 bila shaka.
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,655 Oct 31, 2013 #195 watu8 said: Dk 40 Simba SC 1 - 0 Kagera S Click to expand... 40 = 85? Bora uishe tupande petu kilele
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Oct 31, 2013 #196 Simba wamechoka...
TIQO JF-Expert Member Joined Jan 8, 2011 Posts 13,786 Reaction score 2,102 Oct 31, 2013 #197 Masuke said: Hawa Kagera Sugar ni noma wanaweza kuharibu muda wowote, Simba ongezeni japo la pili tupumue. Click to expand... Wameuza gemu hawa
Masuke said: Hawa Kagera Sugar ni noma wanaweza kuharibu muda wowote, Simba ongezeni japo la pili tupumue. Click to expand... Wameuza gemu hawa
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Oct 31, 2013 #198 Dak. 90 SSC 1-0 KGR, +4Mins.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,290 Reaction score 108,306 Oct 31, 2013 #199 Dk 45 Simba SC 1 - 0 Kagera S Mpira utaongezewa dk 4 tu....
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Oct 31, 2013 #200 Simba wamechoka..... wanachezewa nusu uwanja..