simba wanatisha
Nasikia mnyama ashafanya yake huko taifa
mpira umesimama kuna mchezaji kaumia hapa
simba ni hatari
prison 1 - 0 mbeya city, dakika 30
prison 1 - 0 mbeya city, dakika 30
prison 1 - 0 mbeya city, dakika 30
Kutangulia c kufika.
Mechi ya leo naona kama Simba SC anashinda ingawaje sipendi iwe hivyo...
simba ni hatari
....yaani humu ni kama kumejaa a bunch of walevi !!...Hakuna anayeweza hata kuandika sentence kamili....malue lue tuu