Live update: Simba SC va Azam FC

Live update: Simba SC va Azam FC

Simba waki-draw kwao ni sawa na ushindi,wakifungwa goli chache kama za leo i.e 2-1 kwao ni sawa na draw,hongereni kwa kutoa sare!
 
dah, wazee wa ushindi wa kusawazisha leo poleni, ilikua bado goli 1 mshinde tena(Simba)
 
simba huyu sijui msimu huu kama hatujaishia nafasi ile ile ya mwaka jana
 
wanashangilia droo kama wamechukua ubingwa!!!!!!

yanga kesho ni kupiga tu na kusonga mbele, kama kawaida cc 2nashangilia ushindi na xio droo
 
Mpira umekwisha.
Simba 1 - 2 Azam. Mia
Vipi, kocha Kibadeni hajaongelea juu ya kuhujumiwa kama alivyosema siku ya mchezo uliopita wa Yanga!?
Ndio maana tunasema Yanga na Simba zikitoweka watu wa mpira wataanza kufikiria mpira kwa uhalisia wake na si porojo.
 
dah, wazee wa ushindi wa kusawazisha leo poleni, ilikua bado goli 1 mshinde tena(Simba)

Niliwambia Azam watarudi kivingine half ya 2. Kagoli kamoja tu kalichomekwa, Mnyama akajaribu kukachomoa, kakakatikiamo!
 
Back
Top Bottom