Live update: Simba SC va Azam FC

Live update: Simba SC va Azam FC

Aaaah, acha kabisa wanatisha !! yaani sijapata kuona! Katambuga social club mpaka leo kashindwa kuchomoa 5 - 0 ! alizochomekwa na Simba! kabaki kuweweseka!
 
Mkuu, kiswahili fasaha, ni kurudisha sio kuchomoa.

Ni kweli Mkuu, ningekuwa nafanya mtihani wa NECTA ningeandika hivyo, hapa tuko mchezoni majonjo kama haya kwenye lugha yanakoleza utamu wa mchezo.
 
azam wamezidiwa katikati ya uwanja simba kuna watu 5 azam 3
 
Aaaah, acha kabisa wanatisha !! yaani sijapata kuona! Katambuga social club mpaka leo kashindwa kuchomoa 5 - 0 ! alizochomekwa na Simba! kabaki kuweweseka!

Huu ni uchokozi, rejea uzi wangu wa matokeo yote ya Simba na Yanga utaona madeni ya Mnyama anayodaiwa.
 
Goaallllll!!

Azam wanasawazisha ni Kipre Tcheche

Dk 43

Simba SC 1 - 1 Azam FC
 
mabeki wa simba wamezembea kuokoa mpira wa klosi ya chini
 
Back
Top Bottom