Grunet ndio linaapa sasa janga
Kwik kwik kwik ........
Grunet ndio linaapa sasa janga
na wale Mabaunsa wa Bilicanaz ndo wangekuwa Security Officers, Tanzania Daima ndo lingekuwa Gazeti la Serikali. Mtei angekuwa Baba wa Taifa.
Nashukuru kwa ujumbe wako Elimu Tanzania inahitaji mabadiliko. Ukifanya mabadiliko kwenye sekta nyeti ya elimu lazima uweke reformist minister/deputy minister ili aweze kuleta changamoto na kuisogeza elimu iliyo mahututi. Kumbuka kwa nchi yetu naibu waziri anafanya kazi kuliko waziri maana mawaziri wanasafiri sana. Jenista hataleta impact yeyote pale wizarani. Tunahitaji mtu mwenye kufikiri na anayefahamu Elimu ni nini. Kumbuka wizara ya Elimu katibu mkuu ni mwanasheria, waziri engineer, naibu waziri diploma ya ualimu naamini Hajui hata education reforms nini. Ndiyo maana nilisema ni sawa na kutoa malango na kuweka pazia kuzuia mweziIna maana kwako Degree ya Kufoji ni Bora kuliko Diploma Halisi? Msalimie Augustine au Hamimu inategemea Mlikutana wakati anatumia jina gani?
JK Mbona Leo anhasira sana,Hana tabasam hata kidogo
JK Mbona Leo anhasira sana,Hana tabasam hata kidogo
Hivi huyu jamaa hana mke wa kumshauri mavazi? Anawatia aibu sana wanyiramba.
na Leo kavaa scarf!!!!!!!sijui nani huwa anamdanganya huyu mtu jamani
Cha ajabu wakikiuka viapo vyao hakuna hatua wanayochukuliwa!
Hii awamu bora ipite![/QUOTE
Mwalimu Nyerere alisema wataapa ili wakikiuka viapo vyao tuweze kuwahukumu. Ila Tangu enzi hizo sijui ni nani kahukumiwa baada ya kiapo na kulinda na kutetea
Tabia zako za kuolewa na kuachika halafu kuzaa watoto wengi kila mmoja na baba yake ndio inakufanya uwe hiviWanawake mna kazi kweli, kuna wakati unaweza kuheshiwa ukiwa single woman kuliko kumtambulisha mshamba kama huyu eti ndio mume wako!
bora muhongo, jenista wakati anakula kiapo amepatwa na stuckness, kaanza kusoma kiapo cha pili badala ya kile cha kwanza then cha pili: Yaleyale ya muhongo na tanganyika na zimbabwe kuungana kuform tanzania
Hivi Salary Slip wewe uko chama gani? CHADEMA au CCM? Ulifanya niamini kama ulikuwa CDM vile?
Now, I am confused!!! Au ni adui from within!
Kuwa mwana CCM kijana kama mimi leo ni fedheha kuliko fedheha ya kujaribu kujinyonga na kisha kusalimika!Hivi Salary Slip wewe uko chama gani? CHADEMA au CCM? Ulifanya niamini kama ulikuwa CDM vile? Now, I am confused!!! Au ni adui from within!
Mfano usalama wa nchi.
Mimi ni waziri mstaafu