prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,375
Natamani hizi biblia takatifu na quruan tukufu zingekuwa zinawaunguza wizi uzandiki, na uchawiuchawi ndio siasa za afrika walaaniwe wote wanaovitia vitabu vya mungu unajisi.
Mkuu lyinga mbona zinawaunguza sana!!
Hawaishi kuumwa maradhi ya ajabu ..Pamoja na kutibiwa hospital za gharama bado wana-zawadiwa vifo vya mateso..
Last edited by a moderator: