Unapokuwa na Viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri kwa kuamini kwamba misaada ya wafadhili iwe ya kutegemewa saana kuliko kutafuta mbinu mbadala za namna ya kupata fedha (Kodi) ya ndani, imepelekea kuwa na Bajeti ya Maneno kuliko Bajeti halisi, kwa sababu huwezi kutegemea wafadhili kupanga mipango yako ya maendeleo.
Wanaona sifa kusema tumepata Msaada kutoka kwa wafadhili hii ni aibu kwa nchi na wananchi wake ni udhalilishaji mkubwa na hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana kwa kutegemea misaada, Tuna kila kitu ni aibu kutegemea misaada
Wanaona sifa kusema tumepata Msaada kutoka kwa wafadhili hii ni aibu kwa nchi na wananchi wake ni udhalilishaji mkubwa na hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana kwa kutegemea misaada, Tuna kila kitu ni aibu kutegemea misaada