Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Mreme anamjibu siyo kweli ni propaganda tu....anasema hata CUF na NCCR mageuzi zilipokuwa na nguvu kipindi
kile walizushiwa mambo kama hayo
Thank you Sir/Madam. Nakumbuke election night mkuu wa polisi enzi hizo yule mguga majambazi alionyesha silaha za CUF za kugushi!!! Kweli SSM ni dhaifu na waoga. Why not just compete?