mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
Wanabodi,
Mda si mrefu kupitia television ya EATV (chanel 5) kutakuwa na mada inayosema...JE SIASA ZA MALUMBANO NI UKUAJI WA DEMOKRASIA? Kipindi kitaendeshwa na Dada Prudence wa 5 CONNECT from EATV kuanzia saa moja
kamili jioni hii.
Wageni waalikwa ni
Ndugu Nape Nnauye kutoka ccm.
Ndugu John Mreme kutoka Chadema
Ndugu Benson Bana kutoka chuokikuu cha DSM
Ndugu Hemed Msabaha kutoka NCCR-Mageuzi na
Ndugu Antidius Rweyengoza kutoka AFRON.
Karibuni tuwaangalie hawa waheshimiwa watasema nini kuhusiana na hii mada.
Pia tuone ni nani atachemsha na ni nani atakuwa mkweli - Nawasilisha
Mda si mrefu kupitia television ya EATV (chanel 5) kutakuwa na mada inayosema...JE SIASA ZA MALUMBANO NI UKUAJI WA DEMOKRASIA? Kipindi kitaendeshwa na Dada Prudence wa 5 CONNECT from EATV kuanzia saa moja
kamili jioni hii.
Wageni waalikwa ni
Ndugu Nape Nnauye kutoka ccm.
Ndugu John Mreme kutoka Chadema
Ndugu Benson Bana kutoka chuokikuu cha DSM
Ndugu Hemed Msabaha kutoka NCCR-Mageuzi na
Ndugu Antidius Rweyengoza kutoka AFRON.
Karibuni tuwaangalie hawa waheshimiwa watasema nini kuhusiana na hii mada.
Pia tuone ni nani atachemsha na ni nani atakuwa mkweli - Nawasilisha