Live: Mansour Himid , Dk Slaa na Hassan Moyo

Live: Mansour Himid , Dk Slaa na Hassan Moyo

Japo nimekua naipa 5 cdm kwa kupigania utawala bora na kupambana na ufisadi nchini kwa ujasiri, sera yao ya majimbo na muungano ina ukakasi. cdm ikiingia madarakani bila shaka taifa la tanzania litasambaratika. ili kubeba kura za wanaccm asilia wanahitaji kuangalia upya sera yao ya majimbo na muungano
 
Chadema mmezidisha ku COPy na PASTE hadi sera ya serikali tatu? Serikali ya majimbo imeishia wapi?
 
Kutakuwa na kongamano kubwa leo la kujadili zanzibar huru katika ukumbi wa salama bwawani.
Kuna tetesi kubwa kwamba Dk Slaa atakuwepo katika kongamano hilo

mansour.jpg
807915.jpg


dk slaa akiwa zanzibar

live: MazruiMediaLive on USTREAM: We are broadcasting live from MazruiMedia Studio!. Local News

Unaweza ukawa na hoja ya msingi, lakini kitendo chako cha kuweka picha ya Dr W Slaa ya kampeni za mwaka 2010 alipokuwa ameumia mkono....zinanifanya nitilie shaka habari nzima.

So far what is common between the three?
 
hapa umeniwahi... slaa kavaa baraghashia, mi naona akikosa watu next time atakamata na quran kabisaa

Hajatoka nje ya mstari..Viongozi CCM kutwa kwa waganga..Mwenyekiti wenu Matambiko hayaishi kuongeza mvuto kwa jamii..
 
Jamaa anaweka Vijembe sana. Sijui kwa nini unaleta utani kwenye mambo muhimu kama haya?
 
hapa umeniwahi... slaa kavaa baraghashia, mi naona akikosa watu next time atakamata na quran kabisaa
Mkuu, kwa taarifa yako (hapo kwenye Bold) hicho kitabu Mapadre wengi kama sio wote wanakijua kuliko unavyo fikiri, ni sehemu ya masomo ambayo hua wanasoma wanapokua mafunzoni, hakuna asicho kijua humo.
 
Hata nyerere alivaa kofia kuwazuga waislam lakini alichowafanyia leo hii wakilalamika wanapigwa risasi.staili yao yakinyonga tumeistukia,tatizo lao hawana nia njema na waislam wanaafiq.
 
anasema yeye haitaki tena ccm. ataendelea kusema sana tena sana

NA ni wazi utaitaka ccm ili ikupeleke wapi wakati ishashindwa kukupeleka unakotarajia? mama mjamzito hawezi kupanda mlima kilimanjaro na kufika kileleni keshachoka kabla ya kufika anakotarajia na kule watu wa sasa wanakotaka kufika. maisha ya unafuu kwa watanzania tulio wengi.
 
Naona mnaelekea kwenye udini,jadilin hoja

Kiongozi!

Udini hapa haupo ndugu yangu! Hili neno UDINI lina pandikizwa na CCM kama mkivuli cha kutuogopesha kufikia hatima ya kile waTanganyika na waZanzibar wengi wanacho kitaka.

CCM wanajuwa wazi kwamba kila mTanganyika na mZanzibar mwenye akili timamu, anataka serikali tatu. Na ndio maana CCM imebuni kila kitu ni vikao vya ndani. Walishaona huku nje hawana hoja yenye nguvu kuwasha wishi waTanganyika/ waZanzibar.
 
Mansour kaka onyesha uzalendo kwa kurudisha majumba na ardhi mliochukua na shemeji yako Karume,shadya dada yako na mama Karume. na mwisho ni majenereta uliyanunua mwisho wa utawala wa Karume tupe bei halisi,nasikia ndugu zako unaowahutubia sasa ndio walimwaga mchele wa hizo kashfa na leo ndio wanakupigia makofi
anasema yeye haitaki tena ccm. ataendelea kusema sana tena sana
 
Mansour kaka onyesha uzalendo kwa kurudisha majumba na ardhi mliochukua na shemeji yako Karume,shadya dada yako na mama Karume. na mwisho ni majenereta uliyanunua mwisho wa utawala wa Karume tupe bei halisi,nasikia ndugu zako unaowahutubia sasa ndio walimwaga mchele wa hizo kashfa na leo ndio wanakupigia makofi
wizi ndio sera za vyama vyote vya tz kila mwanasiasa wa tz hii ndio sera yake. mansour anafuata tu. kama wanasiasa wataambiwa warjeshe walivyochukua nadhani tz itakuwa ndogo. kwani mansour ndio mwizi?
 
Kiongozi!

Udini hapa haupo ndugu yangu! Hili neno UDINI lina pandikizwa na CCM kama mkivuli cha kutuogopesha kufikia hatima ya kile waTanganyika na waZanzibar wengi wanacho kitaka.

CCM wanajuwa wazi kwamba kila mTanganyika na mZanzibar mwenye akili timamu, anataka serikali tatu. Na ndio maana CCM imebuni kila kitu ni vikao vya ndani. Walishaona huku nje hawana hoja yenye nguvu kuwasha wishi waTanganyika/ waZanzibar.

nimekupata
 
Mkuu, kwa taarifa yako (hapo kwenye Bold) hicho kitabu Mapadre wengi kama sio wote wanakijua kuliko unavyo fikiri, ni sehemu ya masomo ambayo hua wanasoma wanapokua mafunzoni, hakuna asicho kijua humo.

kweli mkuu Mazindu Msambule ili uwe Padri ni lazima uwe umesoma na kuzielewa karibia dini zote kubwa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom