Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,355
- 13,146
Dr.Slaa, mambo ya Zanzibar yana muhusu nini wakati Tundu Lissu kupitia tamko la chama alisema Zanzibar siyo nchi.
Hapo umeongea kama mtoto
Dr.Slaa, mambo ya Zanzibar yana muhusu nini wakati Tundu Lissu kupitia tamko la chama alisema Zanzibar siyo nchi.
Unajua sembe pia husababisha brain atrophy, ZeMarcopolo umezidisha dose, siku zinavyokwenda ndio punda zinavyozidi kutoka kwenye mdomo wako.
Dr. Slaa anaweweseka. Kila akionacho anakitolea macho!
anasema yeye haitaki tena ccm. ataendelea kusema sana tena sana
Kutakuwa na kongamano kubwa leo la kujadili zanzibar huru katika ukumbi wa salama bwawani.
Kuna tetesi kubwa kwamba Dk Slaa atakuwepo katika kongamano hilo
![]()
![]()
dk slaa akiwa zanzibar
live: MazruiMediaLive on USTREAM: We are broadcasting live from MazruiMedia Studio!. Local News
unaweza ukawa na hoja ya msingi, lakini kitendo chako cha kuweka picha ya dr w slaa ya kampeni za mwaka 2010 alipokuwa ameumia mkono....zinanifanya nitilie shaka habari nzima.
So far what is common between the three?
slaa! Duh! Kasahau kufunga msalaba kifuani!! Kibaraka shehe cha nini?
Mkiwa bara mnaponda kofia Mkiwa znz mnavaa balagashia jinsi anavyoonekana huwezi kujua km ni padri slaa kule wanataka mkataba
Mkiwa bara mnaponda kofia Mkiwa znz mnavaa balagashia jinsi anavyoonekana huwezi kujua km ni padri slaa kule wanataka mkataba
Nyie wazanzibar tatizo lenu hamjielewi halafu hamtaki kukubali kwamba hamjielewi kwa sababu Dr. Slaa akiwaambia ukweli mtaanza kulalamika, muelewe kwamba Dr. Slaa ni mpinzani nyie ni CCM hiyo CUF ni chapa kuzuga tu.[/QUOTE
na nyie pia hamujielewi maana hamutaki kuileta Tanganyika yenu
Kinara wa kundi la kina Mansoor ni KARUME JR sasa mbona yeye hafukuzwi
Slaa na baraghasia.