Nasubiri nione mkutano wa cuf utafanyikia wapi!
always CCM wanapojitutumua kuwazuia CDM ndio wanatufanya kuzidi kuwapenda lolest
Viwanja ni vingi sana Arusha...Kujenga eneo la NMC hbakutazuia kitu...Hata Kwa Mrombo sokoni tutaenda!
Nasubiri nione mkutano wa cuf utafanyikia wapi!
:A S-confused1:!??????????????????????????????????????????????????????????????????????Leta SOURCE
OTHERWISE PUMBA
Arusha ipo kazi. Hivi Uwanja wa NMC ni wa CCM kama ulivyo wa Sheikh Amri Abeid?
viwanja ni vingi sana arusha...kujenga eneo la nmc hbakutazuia kitu...hata kwa mrombo sokoni tutaenda!
leta source
otherwise pumba
maswali;
1/uwanja wa nmc unamilikiwa na nani?
2/je uwanja huo sio open space?
3/kinachoendelea hapo ni ujenzi wa nini hasa?
4/je kinachoendelea sasa kiliandaliwa kabla au ni mpango wa dharura?
picha ni ya sasa hivi.....makamanda tupo eneo la tukio.....ngoja nikae sawa....
Naona uko ki biashara zaidi bro!Viwanja ni vingi sana Arusha...Kujenga eneo la NMC hbakutazuia kitu...Hata Kwa Mrombo sokoni tutaenda!
nakuunga mkono arifu au pale sanawari