Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Leta SOURCE
OTHERWISE PUMBA
OTHERWISE PUMBA
Vijana wako kwa pembeni na nyuso za huzuni. Serikal ingekuwa active siku zote kama leo hakika hata washington wasingetupata kwa maendeleo.
nimepita jana palikuwa wazi....leo uzio umeshawekwa.....walifanya hiyo kazi saa ngapi?.....wacha niweke picha mshuhudie wenyewe.....
nashauri mkutano ufanyikie mianzini.barabara ikijifunga ndio waonyeshe pa kufanyia mkutano.
Chadema Square imezikwa rasmi leo inasikitisha sana.
Mkandarasi yupo site anapiga kazi balaa, vibarua wake wanajitaid kuweka uzio wa senyenge uwanja mzima, greda na makatapila yanatamba uwanjani. Vifusi vya mchanga na moram vinaingizwa na malori zaidi ya kumi. Hapa leo serikal imechukua pointi 3 dhidi ya Cdm.
Chadema Square imezikwa rasmi leo inasikitisha sana.
Maswali;
1/Uwanja wa NMC unamilikiwa na nani?
2/Je uwanja huo sio open space?
3/Kinachoendelea hapo ni ujenzi wa nini hasa?
4/Je kinachoendelea sasa kiliandaliwa kabla au ni mpango wa dharura?
huwa nina ham ya kukutukana sana niruhusu basi
Jasho la Damu
Banned Array :loco::loco::loco::loco::loco::loco::loco::loco:
Join Date : 11th June 2011
Posts : 69
Rep Power : 0
Likes Received9
Likes Given0