SOKON 1
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,134
- 331
jioni ya leo mkutano uliotangazwa masaa mawali kabla kupima ni nini CCM walichofanya Arusha majibu ni CHADEMA itabaki kuwa ngome ya CHADEMA kwani watu ni wengi mmo wamejitokeza katika viwanja vya kilombero kwa masaa mawali toka utangazwe kutoka mda huu.
Mawazo: CHADEMA wanasema hawana mda wa kushindana na veterani na waizi wa pembe za ndovu kwa hio waeza kubadili msitu ila kwame huwezi badili nyani wa msitu huo.
Bushi: kinana akiwa mwenyekiti wa hospitali ya Mount Meru aliondoka na dry cleaner ambazo amekwenda kufungulia FALCON DRY CLEANER pia mwaka 94 Kinana alienguliwa katika kugombea tena CCM sababu ni msomalia kwani akiwa na miaka 8 alitoka Somalia na baba yake so iweje leo tena wampe ukatibu mkuu je ni lini Kinana alikana kuwa msomal
Lema: nafarijaka sana umati huu kuja katika mkutano uliotangazwa masaa mawili yaliopitwa na hata hawajaletwana mabasi, mafuso lakini mmekuja maelfu. So ccm kupitia kwa mwenyekiti wake fisadi na tume yake mpya ni mafisadi so hawana jipya. Pia anashangazwa na katibu mkuu wa ccm kufungua tawi kilombero na kukosa kiongozi wa shina ilo ikabidi katibu wa ccm mkoa kuwa kiongozi. pia amesema kama ccm sio vilaza je tuwaitaje inakuweje madiwani waliofukuzwa chadema na kunyanganywa uwanachama eti madiwana wa chadema warudisha kadi na kupewa za ccm sasa izo kadi cha chadema wamezitoa wapi kama walinyimwa uwanachama so tuwaache wafu wazikane wenyewe.
Pia amesema katika operesheni hii katika jiji la Arusha watafungua matawi kisha kuchagua viongozi wa tawi ilo pia mbali na viongozi wa tawi pia watachagua mabalozi ambao watawakilisha chadema katika kila mtaa ambao watakuwa wanatoa habari za mwenendo na hali ya chama kuakikisha ccm haipo katika jiji la Arusha
G. LEMA akiutubia leo jioni katika viwanja vya kilombero
My Take;
kwa hali niliyokutana nayo leo katika mkutano wa chadema ambao hata mimi nilikuwa sijui kama kulikuwa na mkutano wa chadema ila katika kupita nikiwa nimetoka kazini nilishangazwa sana na umati ule nikatoa simu yangu kuangalia kama humu JF kuna members kutoka Arusha watakuwa wanahabarisha ila palikuwa hakuna kwa mda huo ikanibidi nami nisikilize na nihabarishe JF watu wapate habari ni mengi yameongelewa ili nilikuta tayari makamanda wengine wameshaongea kweli ccm haina chake Arusha
Nawasilisha
Mawazo: CHADEMA wanasema hawana mda wa kushindana na veterani na waizi wa pembe za ndovu kwa hio waeza kubadili msitu ila kwame huwezi badili nyani wa msitu huo.
Bushi: kinana akiwa mwenyekiti wa hospitali ya Mount Meru aliondoka na dry cleaner ambazo amekwenda kufungulia FALCON DRY CLEANER pia mwaka 94 Kinana alienguliwa katika kugombea tena CCM sababu ni msomalia kwani akiwa na miaka 8 alitoka Somalia na baba yake so iweje leo tena wampe ukatibu mkuu je ni lini Kinana alikana kuwa msomal
Lema: nafarijaka sana umati huu kuja katika mkutano uliotangazwa masaa mawili yaliopitwa na hata hawajaletwana mabasi, mafuso lakini mmekuja maelfu. So ccm kupitia kwa mwenyekiti wake fisadi na tume yake mpya ni mafisadi so hawana jipya. Pia anashangazwa na katibu mkuu wa ccm kufungua tawi kilombero na kukosa kiongozi wa shina ilo ikabidi katibu wa ccm mkoa kuwa kiongozi. pia amesema kama ccm sio vilaza je tuwaitaje inakuweje madiwani waliofukuzwa chadema na kunyanganywa uwanachama eti madiwana wa chadema warudisha kadi na kupewa za ccm sasa izo kadi cha chadema wamezitoa wapi kama walinyimwa uwanachama so tuwaache wafu wazikane wenyewe.
Pia amesema katika operesheni hii katika jiji la Arusha watafungua matawi kisha kuchagua viongozi wa tawi ilo pia mbali na viongozi wa tawi pia watachagua mabalozi ambao watawakilisha chadema katika kila mtaa ambao watakuwa wanatoa habari za mwenendo na hali ya chama kuakikisha ccm haipo katika jiji la Arusha
G. LEMA akiutubia leo jioni katika viwanja vya kilombero
My Take;
kwa hali niliyokutana nayo leo katika mkutano wa chadema ambao hata mimi nilikuwa sijui kama kulikuwa na mkutano wa chadema ila katika kupita nikiwa nimetoka kazini nilishangazwa sana na umati ule nikatoa simu yangu kuangalia kama humu JF kuna members kutoka Arusha watakuwa wanahabarisha ila palikuwa hakuna kwa mda huo ikanibidi nami nisikilize na nihabarishe JF watu wapate habari ni mengi yameongelewa ili nilikuta tayari makamanda wengine wameshaongea kweli ccm haina chake Arusha
Nawasilisha