Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Furaha ya yanga ni mpaka Simba ifungwe na timu nyingine. Lakini mkikutana na Simba lazima mchapane bakora wenyewe kwa wenyewe.
Hamjiamini kabisa mpaka muone hali angalau, ndio mnajitokeza. Shukuruni Yanga tupo hapa kusongesha laa hakuna kitu.