mwa 4
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 3,390
- 754
Mnaanza kuzusha sasa.Simba 2 jkt 2
Mnaanza kuzusha sasa.Simba 2 jkt 2
Acha tuendelee kuwawakilisha sisi si waoga kama wao.
Simba 2 jkt 2
Ha ha hahaaaa sawa bana, leo mtafura sana. Siye kesho na wale inategemea ntu na ntu.
Nyie kesho mna nafasi kubwa sana ya kuongoza ligi labda mfanye uzembe wenyewe.
Ya kweli hayo ?
Tena mimi ninaomba majanga yaendelee hapo msimbazi mpaka yesu atakaporudi
Full time:
Simba SC 2 - JKT Ruvu 1.