Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

Live From Taifa: Simba Vs JKT Ruvu

JKT Ruvu tupeni raha siye, watu walilia, walilala huku wamesimama.
Tunataka leo wasirudi mitaani kwao kabisa.
Mkitoka sare powa hata 2-1 siye raha tu.

Muangalieni kaburu muda si mrefu atatoka jukwaani na kushuka chini. Na hapo ndipo either simba itapigwa kingne au ibaki hyo hyo. Yaan naskia rahaaaa Leo. sembo
 
Last edited by a moderator:
Hii mechi leo tunashinda, Wanasimba leo kuweni na amani, ila sijajua tutashinda kwa goli ngapi.
 
Muangalieni kaburu muda si mrefu atatoka jukwaani na kushuka chini. Na hapo ndipo either simba itapigwa kingne au ibaki hyo hyo. Yaan naskia rahaaaa Leo. sembo

Mda si mrefu utanuna.
 
Last edited by a moderator:
Muangalieni kaburu muda si mrefu atatoka jukwaani na kushuka chini. Na hapo ndipo either simba itapigwa kingne au ibaki hyo hyo. Yaan naskia rahaaaa Leo. sembo

jkt typem raha...naona mikia wanachungulia tu jamvin
 
Last edited by a moderator:
Hii mechi leo tunashinda, Wanasimba leo kuweni na amani, ila sijajua tutashinda kwa goli ngapi.

Yaani bora tu uhamie Yanga Masuke, huko kila siku utakuwa unaumia. Nakuoneaje huruma sasa
 
Last edited by a moderator:
Simba ni timu yangu tangu utotoni ila kipindi hiki inasuasua sana...It is my hope that we shall overcome na najua huu ni upepo tu...utapita.
 
Back
Top Bottom