LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

LIVE from MGM Grand: Floyd ''Money'' Maywether VS Alvarez...

Gang Chomba

Platinum Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,734
Reaction score
4,869
nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...

Twende sasa.........
 
pambano la sasa la raundi 10 ni la utangulizi kati ya Cano VS Theophane..
raundi ni ya 6 sasa
 
pambano limekwisha na Pablo Cesar Cano ameshinda kwa Point...
 
nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi.
Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez...

Twende sasa.........

Cheka yuko wapi?
 
Mkuu ningependa kujua hao watu maarufu mliohudhuria ni akina nani, nikianza nawe moja kwa moja na umaarufu wako katika jamii.


Umaarufu wangu mimi ni kama wa Jua...
asubuhi Mashariki jioni Magharibi...
Mchana mnanikimbia...
Usiku mnaniulizia...
 
sasa ni kati ya Ishe Smith wa hapa Marekani na Caros Moria toka Mexico...
 
Yaani mie nasubiria kuangalia ila usingizi uwiiiii, nimelala nimeamka ila duh sitaki kukosa.
 
Tulitakiwa tumwone Cheka au Matumla vs Garcia. Promoters wetu vipi?


Bwana weeh Vuvuzela ndugu yangu hivi unadhani kuna siku Cheka atapanda ulingoni kutwangana na Vladmir au Vital Kritchko?
 
Yaani mie nasubiria kuangalia ila usingizi uwiiiii, nimelala nimeamka ila duh sitaki kukosa.


Hutakiwi kukosa hii ishu...
Maana hawa tunaowasubiria hakuna aliepoteza pambano.
So atakaejamba leo aibu yake
 
Money Mayyyyyyyyyyyyyyy


Vuvuzela hawa watu wa Boxing ni wajanja mno...
Yaani wakati Dunia inalisubiri pambano la Maywether na Man Pac, wao wanazidi kutengeneza uhasama baina ya watu hawa ili mradi tu kutengeneza tension kwa waathirika wa mchezo huu...
Na haswa ukizingatia kuwa uzito huu ndo unaokimbiza kwa sasa kushinda hata Uzito wa Juu
 
Mbona huyu dogo Smith mbona anatuaibishaaaaaaa? Aaaaaaarrrrgggghhhh


Hah hah hah Kaka mchezo wa 8oxing we ufuatilie kama mshabiki tu.
Ila wale wanaotwangana waache kama walivyo
 
Back
Top Bottom