Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Leten updates zaid!
kwani unawalipa?
Leten updates zaid!
Huyu wakili wa ccm anatuzingua tu, yaani watu wanaanza kusinzia mpaka majaji wanavua mwani,
Hajibu hoja anapiga siasa tu hapa!
hali imeanza kuwa mbaya! Naona guest wanaongezeka na members wanapungua!
Wananchi wa Arusha wamepata hasara kubwa sana kumchagua huyu mtu. Kwa sasa naamini hawatakaa warudie tena kufanya kosa kama hili.
hawawezi kuzijua kimsingi.wanaojua sheria ni wananchi.Hawa hawa mawakili wa serikali ambao hawajaenda shule unategemea sheria wazijue?
usimuanderate huyo jamaa kumbuka DNA zake hazitofautiani sana na za tundu.
Pia Makamba mkubwa na Makamba kule Lushoto wanafuatilia kwa umakini mkubwa pamoja na akina mzee Shemvilu; Shemchungwa na Shempapai. Wanasema kama nbwai, nbwai tu. Wako wako Lushoto kwenye baridi ka vile Ulaya.Utakuta guest wanaofuatilia kesi hii humu JF ni:
Kikwete, Makinda, Pinda, Nape, Kinana, Kibanda, Mangula, Mwigulu, Werema, Lukuvi, Kamanda Kamuhanda, IGP Mwema, Jaji Mkuu Chande, Komba, Kamanda Kova, Lusinde, Tendwa, Lowassa, Ridhwan Kikwete, Bashe, Kigwangwalla(Dr.Vitumbua), Prof Maji marefu, Mzee wa upako, Mama salma kikwete, Salama Jabir, Le Mutuz, Eric Shigongo, Juma Kaseja, Wema Sepetu nk
Mi si mtaalamu wa sheria ila ukiona upo mahakamani unaongea na hakimu/jaji haandiki kitu anakuangalia tu ujue unaongea pumba inabidi unyamaze na kubadilisha hoja
Wale walio na taarifa ya Kesi ya Lema sio Ndo inasikilizwa?
hali imeanza kuwa mbaya! Naona guest wanaongezeka na members wanapungua!
Sasa kama wakili wa CCM anazingua haeleweki anataka kusema nini au anasema nini unataka aandike nini...