Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Mungu yuko upande wa haki hana cha kufanya hata yeye ukweli anaujua kuwa Lema ni mbunge wa Arusha.....Huyu wakili wa ccm anatuzingua tu, yaani watu wanaanza kusinzia mpaka majaji wanavua mwani,
Hajibu hoja anapiga siasa tu hapa!